iqna

IQNA

abiy ahmed
Mfumo wa kifedha wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amepokea Tuzo ya 2022 ya Mfumo wa Kifedha wa Kiislamu ya Kimataifa kwa juhudi zilizofanywa katika kurekebisha sekta ya fedha ya Ethiopia na kuifanya iwe jumuishi.
Habari ID: 3475796    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/17